Saturday, August 22, 2009

Mavazi katika mwezi wa Ramadhani








Mfungo wa mwezi wa Ramadhani ni miongoni mwa nguzo tano za uislam, hivyo kama muislamu nimeona si vibaya nikawakumbusha mavazi ya staha yanayopendeza hasa kwa wanawake, haijalishi uwe muislamu ama la.

kwani kujistiri hujenga heshima mwanakwetu, wengi hujiuliza mavazi ya stara ni yapi? lakini wala usikonde hebu cheki hapo juu utafahamu ninachomaanisha.

No comments:

Post a Comment