Saturday, August 22, 2009

Miss Universe Africa kesho




Fainali ya kumsaka 'African beauty queen' zinatarajiwa kufanyika kesho, ambapo Tanzania inawakilishwa na mrembo Iluminata Wize,
Warembo wanaoshiriki shindano hilo walipanda jukwaani siku ya jumatatu ya tarehe 10,Agosti 2009 katika ukumbi wa Rainforest Wyndham Hotel ulioko Nassau katika visiwa Bahamas, kwa ajili ya kuonyesha vazi la jioni na vazi la taifa kwa kila mshiriki, ikiwa ni maandalisi ya shindano hilo.

Kesho warembo hao watapanda katika jukwaa la Atlantis, Paradise Island, Bahamas kwa ajili ya kutafuta taji la Miss Universe 2009.

Mungu Ibariki Tanzania, mungu mbariki Illuminata






No comments:

Post a Comment