Saturday, September 5, 2009

Ujumbe wa leo

Mtume Mohammad(s.a.w) alisema itakuja zama ambazo watu watapenda mambo 5 na kusahau mambo 5.

1.Watapenda DUNIA na watasahau AKHERA.
2.Watapenda MALI zao na watasahau HESABU za matendo yao .
3.Watapenda VIUMBE wenzao na watasahau MUNGU wao.
4.Watapenda MAOVU na kusahau TOBA.
5.Watapenda MAJUMBA yao na kusahau MAKABURI yao .

TUMUOMBE MWENYEEZI MUNGU ( s.w. ) ATUEPUSHE NA SAHAU HIZO.

Ramadhani Karim!!!!!

No comments:

Post a Comment