Saturday, November 21, 2009

Swahili fashion week












































Ni wiki ya mitindo ya kiswahili, iliyofanyika jijini Dar es salaam
Wiki hii iliratibiwa na mbunifu Mustafa Hassanali, ambapo zaidi ya wabunifu 20 kutoka Afrika walipanda Jukwaani.
Kwa upande wa Tanzania wiki hiyo iliwakilishwa Manju Msitta, Ailinda Sawe, FarouqueAbdela Farha Naaz na Kemi Kalikawe.
Wengine ni Virginia Njumba, Christine Mhando Khadija Mwanamboka, Zamda George, Robi Morro, Fatma Amour pamoja na wabunifu wengine kutoka Tanzania Mitindo House.
Uganda iliwakilishwa na Dorothy Lubega ambapo Kenya iliwakilishwa na Vaishali Morjaria, Vera Vee pamoja na John Kaveke.
Msumbiji iliwakilishwa na Adelia na Sheila Tique. Pia alikuwepo David Tlale kutoka Afrika ya Kusini.

No comments:

Post a Comment