Thursday, August 26, 2010

Jam ya nanasi

Mahitaji

Nanasi menya kata vipande kiasi cha vikombe 2 vya chai
Sukari kikombe 1
Unga wa tangawizi kiasi

Namna ya kutengeneza
Mimina nanasi na tia sukari na tangawizi kwenye sufuria iliyoko jikoni
Acha vichemke na kuiva, ambapo vitakuwa kama uji mzito
Epua na uwache ipowe na baada ya hapo mimina kwenye chupa

No comments:

Post a Comment