Thursday, August 26, 2010

Jam ya Zabibu

Mahitaji
Zabibu 1/4kg
Sukari 1/2kg
Maji kiasi

Namna ya kutengeneza Kosha zabibu toa kokwa, tia maji na sukari
Teleka na upike mpaka iwe nzito na wacha ipoe
Tia ndani ya chupa (tia ndimu au tangawizi)

No comments:

Post a Comment