Saturday, October 1, 2011

Wedding gown

Tunauza na kukodisha
Piga 0717 030636 au 0758 328226








LR-La premier fashion show

Ni shoo ya aina yake iliyofanyika katika magofu ya Mbweni ruins Zanzibar. Ni shoo ya aina yake kwa designer chipokizi Lucky Roberto, ambaye wengi wetu tunamtambua kama super model. Ilikuwa ni Back to Afrika ya nguvu. Yani ilikuwa ful kanga na vitenge hebu cheki hapa





















The grand Finale


Lucky Roberto, the designer .... Jamani asanteni kwa kuja


Bi mkubwa wako niliwakilisha hiviiii

Samahani wapendwa wangu

Kwenu wapendwa na wadau wa Beauty by definition. Sikuweza kuwa nanyi kwa kipingi kirefu kutokana na matatizo ya hapa na pale. Lakini kuanzia sasa kama kawaida mtakuwa mkifurahia maswala mbalimbali yahusuyo mitindo urembo n.k

Enjoy!