Saturday, October 1, 2011

LR-La premier fashion show

Ni shoo ya aina yake iliyofanyika katika magofu ya Mbweni ruins Zanzibar. Ni shoo ya aina yake kwa designer chipokizi Lucky Roberto, ambaye wengi wetu tunamtambua kama super model. Ilikuwa ni Back to Afrika ya nguvu. Yani ilikuwa ful kanga na vitenge hebu cheki hapa





















The grand Finale


Lucky Roberto, the designer .... Jamani asanteni kwa kuja


Bi mkubwa wako niliwakilisha hiviiii

No comments:

Post a Comment