Thursday, August 16, 2012

Make up tips kwa ngozi nyeusi

Je, wewe ni mweusi na ungependa kujipodoa? Zipo njia kadhaa ambazo ukizitumia zitakurahisishia zoezi hilo. Je ungependa kuzifahamu? Soma hapa: Nimekuandalia tips zangu nane muhimu za kujipodoa ambazo ukizitumia zitaiacha ngozi yako ikiwa ya kuvutia. Epuka kujikandika rangi za mdomo
Rangi yam domo ni kipodozi muhimu sana kwa mwanamke. Kwa mwanamke mwenye ngozi nyeusi ni vyema ukawa makini na upakaji wa rangi ili asije kuharibu muonekano wako. Pakaa rangi nyepesi ambayo itaonyesha vizuri mipaka ya midomo yako badala ya kukufanya uoenakane kituko. Tumia ‘blushes’ zenye rangi iliyokoza
Angalia makini rangi ya ngozi yako, kisha katika vipodozi vyako chagua blush ilikolea zaidi ya ngozi yako. Kwangu mimi blush ni miongoni mwa vipodozi muhimu katika make up kit yangu. Blush humpendeza mwanamke mwenye aina yeyote ya ngozi cha msingi tu ni kuzingatia dondoo hii muhimu. Cheza na ‘eye shadow’
Ni kweli kabisa kuwa unapokuwa na ngozi nyeusi wakati mwingine inachangaya kupata eye shadow inayoendana na ngozi yako. Hivyo ndio maana nakusahuri kujaribu rangi tofautitofauti ili kupata ile hasa unayoendana nayo. dondoo hii ni muhimu sana ingawaje wanawake wengu huona kama kichekesho. Usisahau poda
Hakikisha unapakaa poda usoni mara baada ya kujipodoa. Hii itasaidia kuondoa hali ya mng’ao katika uso wako na kuuacha ukiwa na rangi bomba zaidi. Jambo la kuzingatia ni kuhakikisha unapata rangi zinazoendana na ngozi yako. Pakaa ‘concealer’ kuficha madoa
Dondoo nyingine muhimu ya kujipodoa kwa wenye ngozi nyeusi ni kuficha madoa na makovu yaliyopo kwenye usoni. ‘Concealer’ ndio njia rahisi ya kuficha madoa hayo kwani huficha na pia kung’arisha ngozi yako na kuiacha ikiwa kama halisi. Unachotakiwa ni kutafuta ile inayoendana na rangi halisi ya ngozi yako. Linganisha rangi zako
Cheza na rangi huku ukihakikisha kuwa zinalingana na zinaendana. Elewa kuwa utakapokoleza sehemu moja halafu ukainyima nyingine utajiweka katika hatari ya kuharibu muonekano wako. Tumia vipodozi bora
Wazungu wanasema ‘The higher the quality, the better makeup’. Ikiwa unahitaji kuonekana vizuri zaidi, ni vyema ukatumia vipodozi bora pia kwani uziri wa vipozi hivi huwa vina uwezo mkubwa wa kudumu muda mrefu tofauti na vile vya ubora hafifu. Usisahau nyusi
Iwe unatumia wanja ama tweezer hakikisha unazikumbuka nyusi zako! Haya wapendwa wangu najua mmezielewa vizuri dondoo zangu hizi za kujipodoa kwa wenye ngozi nyeusi ambazo zitasaidia kukufanya uonekane bomba!

Monday, August 13, 2012

Ilala Municipality launch its Magazine

His worship mayor Jerry giving a word to the attendee during the launching of sauti ya ilala
His Worship mayor Jerry Silaa opening the curtains to unveil the sauti ya ilala front page banner.
The 361 Tanzania Managing Director Mustafa Hasanali addressing to the attendee during the launch of Sauti ya Ilala. Ilala municipality is pushing tremendously to promote and publish her social, political and economical manifestation so as to enlighten the beauty, opportunities, talents and the governance of its welfare through different Mediums. This initiative has been propagated by re launching its flagship publication, Sauti ya Ilala, which was previously established in early 2005. The new Sauti ya Ilala magazine has been redesigned in terms of content such as Municipal news ,Business features, event pictorials, sports and entertainment and most important the directory for Ilala municipal offices which shows address and contacts of all officials. The magazine style is also revised to suit the contemporary need of readers in both English and Swahili. As the top facilitator and initiator of making Ilala the main gateway for the Tanzania economy His worship Mayor Jerry Silaa has embarked on making Ilala, downtown Dare s salaam into the most beautiful, cleanest and income generator in the region. Thus through the publication of this magazine, it shall be a good platform of demonstrating ILALA municipalities commercial and economic activities taking place and also thereby celebrating the achievements made by the people in this region. Speaking on the this initiatives the Ilala municipal public relation officer Ms.Tabu Shaibu said ‘The new Sauti ya Ilala will touch everybody’s life since the redesigned magazine has a new and very different taste and feel whereby people of diverse occupations, age and status will go through it and enjoy its content.” In Ilala municipality one shall come across Kariakoo which is the biggest market in Tanzania and the busiest place where huge volume of trade transpires from all over Tanzania and its neighboring countries. Ilala also is the home to Tanzania harbour, which is the main entry gate for all imports and exports in the region, The state house, big industries and various hotels that are all located within the Ilala municipality, for that reason Sauti ya Ilala has a lot to tell and reveal to many Tanzanian who are not aware of the resources, opportunities and activities taking place in this Municipality. “In this neo-era where by digital media has taken precedence, we aim at still maintaining the touch and feel of enjoying the Magazine most importantly for free, yet this publication will also be available online and via various social media,” Stated Mustafa Hassanali, Managing Director of 361 degrees, a media communication agency, which oversee the entire publication of Sauti ya Ilala. Thus the need of keeping with trending times, Sauti Ya Ilala is not confined only to the Municipality but also to that of the region and the country as a whole. This is a perfect platform to drive advertorial and editorial dissemination of information to the general public at large. “Sauti ya Ilala, A Bi-Monthly Magazine providing an insight into the sight, sounds and scenes of the Ilala Municipality is now being taken to new heights and we shall use this platform to inform, entertain, educate and enterprise all those living and working in my Ilala, Downtown Dar es salaam” Concluded His Worship the mayor, Hon, Jerry Silaa, Ilala Municipal Council (The story and Pictures by Seif Kabelele)

Friday, August 10, 2012

Trend alert : Kijani Kavu 'Mint green'

Mint green ndivyo wanavyooiita lakini sisi tunaitambua kama kijani kavu. Ipo 'in' kwa sasa. Unaweza kutumia katika mavazi yako ya kawaida na kufanya statement kwenye mavazi yako. Si hivyo tu, kwa wale wenye harusi hii ni rangi bomba pia. Unaweza kuipangilia na kulipuka vizuri katika siku yako hiyo muhimu. Mpooooo
Kim naye kama kawaida
Pia unaweza kutupia